Mayweather amtolea uvivu 50 Cent ‘unapenda sana kiki, usije tena kuniazima hela’

IF YOU ARE 18 YEARS CLICK BELOW TO WATCH AND DOWNLOAD FULL VIDEO

Sunday, July 22, 2018

Mayweather amtolea uvivu 50 Cent ‘unapenda sana kiki, usije tena kuniazima hela’

Mwanamasumbwi maarufu duniani kutoka Marekani, Floyd Mayweather ameamua kuliamsha bifu na swahiba wake wa zamani 50 Cent   hii ni baada ya rapper huyo kumuandamana Mayweather kwenye mitandao ya kijamii.
Image result for 50 cent and mayweather
Mayweather Jr na 50 Cent
Mayweather akitema nyongo kwenye ukurasa wake wa Instagram amefunguka kuwa 50 Cent kwa sasa anahasira na kila kijana yeyote maarufu na mwenye pesa hii ni kutokana na mpenzi wake wa zamani kukataa kurudiana naye,”Tunajua kwa sasa una hasira sana na kila mtu baada ya mzazi mwenzio wa zamani kukataa kurudiana na wewe, kumbuka yule mtoto uliyezaa naye ni damu yako lakini hujali“.
Share :
Facebook Twitter Google+

 

Back To Top